KLABU ya kuogelea ya HPT imeshika nafasi ya 36 ikijizolea pointi 360 baada ya wachezaji wake kujitahidi kufanya vizuri katika ...
ASKARI wa Sudan wameripotiwa kuwauwa zaidi ya watu 200 wakiwemo wanawake na watoto, katika siku tatu za mashambulizi kwenye vijiji vya kusini mwa nchi hiyo. Askari wa Sudan wameripotiwa kuwauwa zaidi ...
SERIKALI ya Burundi imekanusha taarifa zinazodai kuwa inawaondoa wanajeshi wake kutoka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ...
SERIKALI ya Burundi imekanusha kuwaondoa wanajeshi wake DRC ambapo wamekuwa wakisaidia jeshi la Congo kukabiliana na waasi wa ...
KIGODA cha Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) kimezinduliwa katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), ...
WAASI wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wameonekana kuelekea mji wa Butembo, Mashariki mwa DR Congo ambapo mapigano ...
VIONGOZI wa Marekani na Urusi wamekutana mjini Riyadh na kukubaliana kuanzisha mchakato wa amani nchini Ukraine ...
Wajasiriamali pamoja na wakazi wa kata ya Ugweno, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro wameshiriki mafunzo ya elimu ...
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi amekutana ...
“VIJANA wasiseme siasa haiwahusu, wajue kila mmoja siasa inamuhusu hata kama hujihusishi nayo.” Ndivyo anavyosema Ofisa Mradi ...
VATICAN : KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amegundulika ana ugonjwa wa homa ya mapafu katika mapafu yake.
Anasema mchakato wa kuanzishwa kwa chuo kikuu hicho ulianza baada ya Rais wa Awamu ya Tano, Dk Salmin Amour Juma kuunda timu ...